Mombasa, Septemba 17- Sanaa mara nyingi asilimia kubwa ya wasanii huwa wa jinsia ya kiume huku jinsia ya kike ikiwa na wasanii kidogo. Pwani ni miongoni mwa maeneo yenye talanta
Yuge Bwize
Yugebwize is a passionate radio presenter and entertainment analyst with a knack for writing and uncovering fascinating facts. Dedicated to delivering engaging content and thought-provoking insights and stories.
Mombasa, Septemba 17- Joseph Kai maarufu Presenter Kai ambaye anafanya vyema kwenye mitandao kupitia kazi zake ameweza kuandika kwa maskitiko makubwa kuhusu watu wanaotumia picha zake na mpenzi wake Diana
Mombasa, Septemba 10 - Huku sakata la wasanii wa Tanzania kutosaidia kusambaza kazi ambazo wanafanya na wakenya likiendelea kwenye mitandao,msanii wa Kaya Records,Dogo Richy ameamua kufunguka kuhusu changamoto alizopitia kwenye
Mombasa, Septemba 10- Tamasha la sherehe za chenda chenda hufanyika kila mwaka tarehe 9 mwezi wa Tisa mambapo jamii ya Wamijekenda huungana pamoja kusherehekea tamaduni zao mbali mbali.Tamasha hili ambalo
Mombasa, Septemba 9-Nesphory Simbiga maarufu Kidis The Jembe ambaye amekuwa akizua gumzo mara kwa mara amekuja na jipya.Ngenje Kitaa ametangaza rasmi ujio wa tamasha lake ambalo atawaleta pamoja wasanii wote
Mombasa, Agosti 26- Msanii aliyekuwa kwenye kundi la Susumila akiwa na Susumila wa sasa,Nasoro maarufu kama Escobar Babake,amezua gumzo kwenye mitandao baada ya video yake kusambaa akifanyiwa mahojiano ya kipekee
Nairobi, Agosti 26-Shabiggy ambaye pia anajiita Jeno The Don ameweza kufunguka mengi kuhusu sanaa yake.Shabiggy ambaye ni miongoni mwa mastaa na malejendari ambao wamekuwa kwenye sanaa kwa muda mrefu sasa
Mombasa, Agosti 14- Kundi maarufu linalokua kwa kasi zaidi mkoani Pwani, Wakanda254, limeendelea kujizolea umaarufu na kuzungumziwa kila kona. Kundi hili lilianzishwa miaka miwili iliyopita na Boss Ivan, raia wa
Mombasa, Agosti 1- Msanii maarufu nchini, Johnny Skani, amezua mjadala mitandaoni baada ya kutoa maoni yake kuhusu hali ya sasa ya sanaa ya Pwani akiwajumuisha wasanii, madj, waigizaji na hata
Mombasa, Agosti 1 - Msanii Kelechi Africana anaendelea kuzua gumzo kwenye mitandao kutokana na machapisho yake ya hivi Karibuni zaidi.Mashabiki na wadau mbali mbali wa sanaa wamekuwa wakitoa maoni yao
Load More