Mombasa, June 19- Antony Tandiko almaarufu Ziky Mtanah,msanii wa kizazi kipya na mzawa wa Pwani mwa Kenya ameendelea kuwa gumzo hata baada ya kuwa kimya kwa muda.Ziky ambaye alijulikana kupitia
Yuge Bwize
Yugebwize is a passionate radio presenter and entertainment analyst with a knack for writing and uncovering fascinating facts. Dedicated to delivering engaging content and thought-provoking insights and stories.
Nairobi, June 18- Msanii wa Hiphop na mwanaharakati wa muda wote ukanda wa pwani amewachana na kuwapa onyo mashabiki wanaomtukana kwenye mitandao. Kupitia mtandao wake wa Facebook ameandika hivi;"Onyo kwawanaonitukana:Acheni
Mombasa, June 18- Enock Bella, msanii aliyekuwa kwenye kundi la Yamoto Band ambaye kwa sasa yupo Pwani mwa Kenya kwa ziara yake, ameweza kufunguka mengi kuhusu safari yake ya muziki.Debase
Mombasa, March 19- Shabiggy anazidi kuzua gumzo kwenye mitandao kwa mara nyingine, kupitia posts zake za mara kwa mara ambapo anawaponda wasanii wenzake na washikadau wa muziki wa ukanda wa
Mombasa, March 19- Kaa La Moto ameandika ujumbe mrefu kupitia ukurasa wake wa Facebook kuhamasisha wasanii. Kaa La Moto ni miongoni mwa wasanii wa hiphop kutoka Afrika Mashariki, ambaye amekuwa
Mombasa, March 11 - Mtayarishaji muziki maarufu na pia msanii kutoka kundi la Watu Wazim, Master Watu Wazim afunguka kuhusu gumzo linaloendelea kwenye mitandao kuhusu kuibiwa vyombo vyake vya studio.
Nairobi, March 5- Gumzo linazidi kuendelea kuhusu Marioo, msanii maarufu kutoka Tanzania, baada ya Tamasha la Tuzo za Trace lililofanyika Zanzibar mwezi uliopita. Tamasha hili lilivutia umati mkubwa wa mashabiki,
Mombasa, February 28 – Mo Radio 88.2 FM is proud to celebrate one of its own, Omar Mazera, who has been honored with a prestigious Human Rights Defenders Award at
Mombasa, Februari 26- Mtayarishaji maarufu wa muziki nchini, J Crack, ambaye amejiimarisha katika tasnia ya muziki kwa zaidi ya miaka 20, ameachilia EP yake ya kwanza, Kilifonian Love, ambayo imevuma
Mombasa, Februari 18- Msanii tajika humu nchini mzawa wa Kaunti ya Kwale,Kelechi Africana anazidi kupiga hatua kimuziki kwa kuachilia kazi mara kwa mara.Kelechi ambaye ni miongoni mwa wasanii waliobobea kwenye
Load More